TIMU ya Tabora United imezinduka na kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Mabao ya Tabora United leo yamefungwa na winga Offen Francis Chikola dakika ya 32 na mshambuliaji Mkongo, Heritier Ma Olongi Makambo dakika ya 52, baada ya kiungo Jacob Raymond Massawe kuanza kuifungia Namungo FC dakika ya nne.
Kwa ushindi huo, Tabora United wanafikisha pointi 28, ingawa wanabaki nafasi ya tano, wakati Namungo FC inabaki na pointi zake 17 nafasi ya 12 kwenye ligi ya timu 16 baada ya wote kucheza mechi 17.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/xd42CrB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TABORA UNITED YAZINDUKA NA KUICHAPA NAMUNGO FC 2-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/tabora-united-yazinduka-na-kuichapa.html. Terimakasih atas perhatiannya.