TIMU ya Tabora United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Mabao ya Tabora United yamefungwa na mshambuliaji Offen Francis Chikola dakika ya 52 na beki Mkongo, Andy Bikoko dakika ya 77, wakati la Kagera Sugar limefungwa na kiungo Cleophace Anthony Mkandala dakika ya 90’+5.
Kwa ushindi huo, Tabora United imefikisha pointi 31, ingawa inabaki nafasi ya tano ikizidiwa pointi tatu na Singida Black Stars baada ya wote kucheza mechi 18.
Kwa upande wake Kagera Sugar hali inazidi kuwa mbaya baada ya kupoteza mchezo huo wakibaki na pointi zao 12 za mechi 18 Sasa nafasi ya 15 kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/0dNqk9V
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TABORA UNITED YAICHAPA KAGERA SUGAR 2-1 PALE PALE KAITABA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/02/tabora-united-yaichapa-kagera-sugar-2-1.html. Terimakasih atas perhatiannya.