TIMU za Azam FC na Fountain Gate zitakutana katika Fainali ya Ligi ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 kesho kuanzia Saa 1:00 usiku Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam baada ya kuzitoa Kagera Sugar na Ken Gold katika mechi za Nusu Fainali jana.
Azam FC iliwatupa nje waliokuwa mabingwa watetezi, Kagera Sugar kwa kuwachapa 1-0, bao la Ismail Omary Ali kwa penalti dakika ya 75 – baada ya Fountain Gate kuichapa Ken Gold 2-1 hapo hapo Azam Complex.
Safari ya Azam FC katika michuano hii hatua ya Nane Bora ilianzia Kundi A, ambako waliongoza kwa kuvuna ponti saba mbele ya Ken Gold iliyomaliza na pointi sita – hivyo kuzipiku Simba SC iliyomaliza na pointi mbili na Dodoma Jiji washindi wa pili wa msimu uliopita waliomaliza na pointi moja.
Kwa upande wao Fountain Gate waliongoza Kundi B baada ya kuvuna pointi saba, ikiizidi tu wastani wa mabao Kagera Sugar, zote zikizipku Tanzania Prisons iliyomaliza na pointi tatu mna Yanga ambayo ilifungwa mechi zote tatu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG https://ift.tt/UPkITKh
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms