RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi ametoa gharama zote za Uwanja wa New Amaan Complex, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Mchezo huo wa marudiano utafanyika Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni — Simba SC wakimenyana na RSB Berkane ya Morocco.
Simba inatakiwa kushinda mabao 3-0 baada ya kufungwa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Jumamosi iliyopita Uwanja wa Manispaa ya Berkane mjini Berkane nchini Morocco.
Tofauti na hivyo washinde 2-0 na mchezo uhamie kwenye dakika 30 za nyongeza hadi mikwaju ya penalti kusaka bingwa mpya wa taji hilo lilioachwa wazi na Zamalek ya Misri.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG https://ift.tt/bFPaWYn
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang RAIS DK MWINYI AWALIPIA SIMBA GHARAMA ZA UWANJA WA AMAAN. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/05/rais-dk-mwinyi-awalipia-simba-gharama.html. Terimakasih atas perhatiannya.