TIMU ya Crystal Palace imefanikiwa kutwaa Kombe la FA England baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Manchester City leo katika mchezo wa Fainali Uwanja wa Wembley Jijini London.
Shujaa wa Crystal Palace leo ni mshambuliaji Muingereza mwenye asili ya Nigeria, Eberechi Oluchi Eze aliyefunga bao hilo pekee dakika ya 16 akimalizia kazi nzuri ya beki Mcolimbia, Daniel Muñoz Mejía.
Hilo linakuwa taji la kwanza rasmi kwa Crystal Palace kihistoria baada ya kulikosa mara mbili awali Runners-up: 1989–1990 na 2015–2016 mara zote wakifungwa na Manchester United katika Fainali.
Crystal Palace inakuwa klabu ya kwanza ya England kutwaa taji rasmi la kwanza baada ya Wigan Athletic msimu wa 2012-2013, Kombe la FA pia walipoifunga Manchester City pia kwenye Fainali.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/gJPir4v
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang CRYSTAL PALACE WATWAA KOMBE LA FA ENGLAND. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/05/crystal-palace-watwaa-kombe-la-fa.html. Terimakasih atas perhatiannya.