TANZANIA imetupwa nje Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya Umri wa miaka 20 (AFCON U20) baada ya kufungwa bao 1-0 usiku wa jana na Zambia katika mchezo wa Kundi A Uwanja wa Suez Canal mjini Ismailia nchini Misri.
Bao pekee la Junior Chipolpolo lililoizamisha Ngorongoro Heroes jana lilifungwa na kiungo wa FC Zurich ya Uswisi, Joseph Sabobo Banda kwa penalti dakika ya 90'+11.
Hicho kinakuwa kipigo cha tatu mfululizo kwa Ngorogoro Heroes baada ya kuchapwa 1-0 mara mbili awali na Afrika Kusini na Sierra Leone — hivyo kupoteza nafasi ya kufuzu Robo Fainali kwa namba yoyote.
Ushindi wa Zambia unaamsha matumaini kwao kufuzu Robo Fainali ikifikisha pointi tano katika nafasi ya tatu nyuma ya Afrika Kusini yenye pointi sita na Sierra Leone pointi saba, wakati Tanzania ambayo haina pointi inashika mkia nyuma ya wenyeji, Misri wenye pointi nne.
Tanzania inakamilisha mechi zake za Kundi A Ijumaa kwa kumenyana na wenyeji, Misri.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/O2pFGWL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NGORONGORO HEROES YATUPWA NJE AFCON U20. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/05/ngorongoro-heroes-yatupwa-nje-afcon-u20.html. Terimakasih atas perhatiannya.