KLABU za PSG na Real Madrid zinapigana vikumbo kuwania saini ya beki wa kati wa Liverpool, Mfaransa Ibrahima Konaté mwenye asili ya Mali.
Pamoja na mawindo hayo ya vigogo hao wa Ulaya, lakini mkataba wa Konaté ambaye wazazi wake wanatokea Mali utamalizika mwaka 2026.
Milan Skriniar, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Fenerbahçe, anatarajiwa kuondoka PSG kabisa mwishoni mwa msimu huu, jambo ambalo limesababisha klabu hiyo kuanza kusaka mbadala wake kuimarisha safu ya ulinzi.
Dalili za PSG kuvutiwa na Konaté zilianza Februari mwaka huu iliporipotiwa kwamba PSG walikuwa wakimfuatilia kwa karibu, na kuzua mazungumzo ya uwezekano wa kurejea katika mji wake.
Beki huyo mzaliwa wa Paris alipitia akademi ya Paris FC kabla ya kuwenda Ujerumenia kujiunga na RB Leipzig iliyomkuza na sasa anaaminika kuwa miongoni mwa walengwa wakuu wa PSG majira haya ya joto.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG https://ift.tt/lGuJ9ky
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms