BODI ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imetoa ratiba ya kukamilisha msimu huku mchezo wa watani wa jadi, Simba SC na Yanga ukipangwa kufanyika Juni 15 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8, lakini Simba wakagoma kwa madai walizuia na wenyeji, Yanga kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mechi kwa muiibu wa kanuni.
Yanga iliandika malalamiko TPLB ikiomba ipewe ushindi baada ya Simba kutotokea uwanjani — na baadaye wakapeleka malalamiko Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) na Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo (CAS) wakiomba pia wapewe ushindi.
Lakini FIFA na CAS wakaitaka kwanza Yanga ianzie kwenye mamlaka za nchini — lakini jana klabu hiyo imetoa taarifa ya kusistiza kutocheza mechi hiyo kwa sababu hawana imani na mamlaka za nchini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/P613TkJ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms