WENYEJI, Mamelodi Sundowns wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Pyramids FC ya Misri katika mchezo wa kwanza wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika jioni ya leo Uwanja wa Loftus Versfeld Jijini Pretoria, Afrika Kusini.
Mabao yote yalifungwa na viungo – Mbrazil Lucas Ribeiro Costa akianza kuifungia Mamelodi Sundowns dakika ya 54, kabla ya Mmorroco Walid El Karti kuisawazishia Pyramids FC dakika ya 90’+4.
Timu hizo zitarudiana Juni 1 Uwanja wa Jeshi la Anga wa Juni 30 Jijini Cairo, Mamelodi Sundowns wakitakiwa lazima washinde ugenini, wakati kwa Pyramids FC hata sare ya bila mabao itawapa taji la kwanza la Ligi ya Mabingwa na kurithi Ufalme wa ndugu zao, Al Ahly.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG https://ift.tt/EjornIS
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms