TIMU ya Chelsea FC ya England jana imefanikiwa kutwaa taji la UEFA Conference League baada ya kutoka nyuma 1-0 na kushinda 4-1 dhidi ya Real Betis Balompié ya Hispania katika mchezo wa Fainali Uwanja wa Tarczyński Arena mjini Wrocław nchini Poland.
Pongezi kwa kocha Mtaliano, Enzo Maresca aliyewaongoza vijana wake kwa mbinu mbadala kipindi cha pili baada ya kutanguliwa kwa bao la mshambuliaji Mmorocco, Abdessamad Ezzalzouli dakika ya tisa.
Mabao ya The Blues yalifungwa na kiungo Muargentina, Enzo Fernández dakika ya 65 na washambuliaji Nicolas Jackson wa England dakika ya 70, Jadon Sancho wa England dakika ya 83 na kiungo mwingine, Moisés Caicedo wa Ecuador dakika ya 90'+1.
Hilo linakuwa taji la kwanza katika zama mmiliki mpya, Todd Boehly-Clearlake na Kocha Maresca pia aliyejiunga na timu mwanzoni mwa msimu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG https://ift.tt/k5KY7nf
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms