TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Meja Jenerali Charles Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam.
Bao pekee la Wekundu wa Msimbazi leo limefungwa na kiungo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Fabrice Luamba Ngoma dakika ya 45’+6 akimalizia pasi ya mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda, Steven Dese Mukwala.
Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 63 katika mchezo wa 24 ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 70 za mechi 26.
Kwa upande wao JKT Tanzania baada ya kupoteza mchezo wa leo wanabaki na pointi zao 32 za mechi 27 sasa nafasi ya saba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/oOMZdLT
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA SC YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI MECHI ZA VIPORO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/05/simba-sc-yaendeleza-wimbi-la-ushindi.html. Terimakasih atas perhatiannya.