TIMU ya Azam FC imepangwa Kundi A katika Kombe la Mapinduzi Zanzibar pamoja na mabingwa watetezi, Mlandege SC, Singida Black Stars na URA ya Uganda.
Katika michuano hiyo itakayoanza Desemba 28, Simba SC wamepangwa Kundi B Pamoja na Mwembe Makumbi City ya Unguja na Fufuni FC ya Pemba, wakati watani wao, Yanga wapo Kundi C pamoja na KVZ ya Unguja na TRA United ya Tabora.
Mshindi wa kwanza na wa pili wa Kundi A watafuzu Nusu Fainali, wakati Kundi B na C ni vinara tu watasonga mbele kuwania tiketi ya Fainali.
Mechi zote hadi za Nusu Fainali zitakazochezwa Januari 8 na 9 zitafanyika Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja kasoro Fainali pekee itapigwa Uwanja wa Gombani, Pemba Januari 13, 2026.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/YWAylLj
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC NA SIMBA ZATENGANISHWA MAKUNDI KOMBE LA MAPINDUZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/azam-fc-na-simba-zatenganishwa-makundi.html. Terimakasih atas perhatiannya.