TIMU ya Mlandege SC imevuliwa Kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa bao 1-0 na URA ya Uganda katika mchezo wa Kundi A jioni ya leo Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Bao pekee la URA katika mchezo wa leo limefungwa na mshambuliaji Fred Amaku na kwa kupoteza mchezo wa pili kufuatia kuchapwa mabao 3-1 na Singida Black Stars kwenye mchezo wa kwanza.
Sasa Mlandege SC watakamilisha mechi zao za Kundi A kwa kumenyana na Azam FC Ijumaa ya Januari 2 hapo hapo New Amaan Complex.
George Masembe wa URA amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mechi hiyo na kuzawadiwa Sh. Milioni 1 kutoka kwa wadhamini, Benki ya NMB Tanzania.
Jamal Saleh Mchezaji wa Mlandege FC amechaguliwa Mchezaji Mwenye Nidhamu baada ya l mchezo huo na kuzawadiwa kiasi cha Shilingi 500,000 kutoka kwa wadhamini, Benki ya NMB Tanzania.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/GQqs45W
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MLANDEGE WAVULIWA KOMBE LA MAPINDUZI MAPEMA TU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/mlandege-wavuliwa-kombe-la-mapinduzi.html. Terimakasih atas perhatiannya.