TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam.
Mabao ya Simba SC yamefungwa na kiungo Morice Abraham dakika ya 27, mshambuliaji Mghana, Jonathan Sowah dakika ya 38 na winga Mkenya, Mohamed Bajaber dakika ya 85.
Mbeya City ilicheza pungufu kuanzia dakika ya 28 kufuatia mshambuliaji wake tegemeo, Vitalis Mayanga kutolewa kwa kadi nyekundu.
Kwa ushindi huo, Simba SC inafikisha pointi 12 katika mchezo wa nne na kusogea nafasi ya nne, wakati Mbeya City inabaki na pointi zake nane za mechi 10 sasa nafasi ya 11 kwenye Ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/5wIHlnb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA SC YAICHAPA MBEYA CITY 3-0 MBWENI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/simba-sc-yaichapa-mbeya-city-3-0-mbweni.html. Terimakasih atas perhatiannya.