WENYEJI, Azam FC wametoa sare ya bila mabao na Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Kwa matokeo hayo baina yao timu hizo mbili za Tanzania zinazoshiriki hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika — Azam FC inafikisha pointi sita katika mchezo wa nne na Singida Black Stars pointi nane katika mchezo wa nne pia.
Wakati Azam FC imeshinda mechi moja na kutoa sare tatu hadi sasa chini ya kocha Mkongo Jean-Florent Ibenge — Muargentina Miguel Angel Gamondi ameiwezesha Singida Black Stars kushinda mechi mbili na kutoa sare mbili hadi sasa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/c5UZnF8
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms