TIMU ya Benin imeibuka na ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Botswana katika mchezo wa Kundi D Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 jioni ya leo Uwanja wa Olimpiki Jijini Rabat nchini Morocco.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Shamirah Nabadda wa Uganda, bao pekee la Benin limefungwa na beki mzaliwa wa Ufaransa, Yohan Cédric Benjamin Roche wa Petrolul Ploiești ya Romania dakika ya 28.
Kwa ushindi huo, Benin ambayo ilifungwa bao 1-0 na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Katika mchezo wa kwanza inaokota pointi tatu katika mechi ya pili na kuweka hai matumaini ya kusonga mbele.
Kwa upande wao Botswana baada ya kufungwa mabao 3-0 na Senegal kwenye mchezo wa kwanza inajiweka pagumu kusonga mbele.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/sRZOFyl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BENIN YAICHAPA BOTSWANA 1-0 AFCON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/benin-yaichapa-botswana-1-0-afcon.html. Terimakasih atas perhatiannya.