MISRI imekuwa timu ya kwanza kufuzu Hatua ya Mtoano, 16 Bora baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Afrika Kusini usiku huu katika mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 Uwanja wa Adrar mjini Agadir nchini Morocco inakoendelea michuano hiyo.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na Refa Pacifique Ndabihawenimana wa Burundi, bao pekee la The Pharaohs limefungwa na mshambuliaji wa Liverpool ya England, Mohamed "Mo" Salah Hamed Mahrous Ghaly dakika ya 45 kwa penalti.
Kwa ushindi huo, Misri inafikisha pointi sita na kujihakikishia kufuzu Hatua ya 16 Bora ikiwa na mechi moja mkononi dhidi ya Angola.
Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ wanabaki na pointi zao tatu baada ya mechi mbili pia kuelekea mechi ya mwisho dhidi ya Zimbabwe yenye pointi moja sawa na Angola.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/pdmjcDB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SALAH AFUNGA MISRI YAICHAPA AFRIKA KUSINI 1-0 AFCON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/salah-afunga-misri-yaichapa-afrika.html. Terimakasih atas perhatiannya.