WENYEJI, FC Barcelona jana walitoka nyuma na kushinda mabao 2-1 dhidi ya Eintracht Frankfurt katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Spotify Camp Nou Jijini Barcelona, Hispania.
Eintracht Frankfurt walitangulia kwa bao la winga wa kulia, Ansgar Knauff dakika ya 21, kabla ya beki wa kulia Mfaransa Jules Olivier Koundé mwenye asili ya Benin kuifungia mfululizo Barcelona dakika ya 50 na 53.
Kwa ushindi huo, Barca inafikisha pointi 10 na kusogea nafasi ya 14 kwenye ya timu 36 za Ulaya, wakati Eintracht Frankfurt inabaki na pointi zake nne nafasi ya 30 baada ya timu zote kucheza mechi sita.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/RpnBhFy
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms