WENYEJI, Morocco wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mali katika mchezo wa Kundi A Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku huu Uwanja wa Prince Moulay Abdellah Jijini Rabat.
Winga wa Real Madrid ya Hispania, Brahim Abdelkader Díaz alianza kuwafungia Simba wa Atlasi dakika ya akimtungua kwa mkwaju wa penalti kipa wa Yanga SC ya Tanzania, Djigui Diarra.
Lakini mshambuliaji wa AJ Auxerre ya Ufaransa, Lassine Sinayoko akawasawazishia Tai dakika ya kwa penalti pia akimchambua kipa mzaliwa wa Canada, Yassine Bounou wa club Al Hilal ya Saudi Arabia.
Kwa matokeo hayo, Morocco inafikisha pointi nne kufuatia ushindi wa 2-0 dhid ya Comoro kwenye mchezo wa kwanza, wakati Mali inafikisha pointi mbili kufuatia sare nyingine ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza na Zambia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/Gpt3H4s
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MOROCCO YAKWAMA KWA MALI, ZATOKA SARE 1-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/morocco-yakwama-kwa-mali-zatoka-sare-1-1.html. Terimakasih atas perhatiannya.