TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba SC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na mshambuliaji mpya, Jephte kitambala Bola aliyesajiliwa kutoka AS Maniema Union ya kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) dakika ya 81 na winga Iddi Suleiman Nado dakika ya 89.
Wawili hao wote walifunga mabao yao wakimalizia kazi nzuri za kiungo mshambuliaji, Nassor Saadun Hamoud aliyetokea benchi dakika ya 67 kuchukua nafasi ya winga Zidane Sereri.
Kwa ushindi huo, Azam FC wanafikisha pointi tisa na kusogea nafasi ya tisa, wakizidiwa pointi tatu tu na Simba SC baada ya timu zote kucheza mechi tano hadi sasa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/M2YXVEZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAICHAPA SIMBA SC 2-0 KWA MKAPA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/azam-fc-yaichapa-simba-sc-2-0-kwa-mkapa.html. Terimakasih atas perhatiannya.