TANZANIA imeweka rekodi ya kufuzu Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 kwa mara ya kwanza kihistoria licha ya sare ya kufungana bao 1-1 na Tunisia katika mchezo wa mwisho wa Kundi C usiku huu Uwanja wa Olimpiki Jijini Rabat nchini Morocco.
Tunisia walitangulia kwa bao la dakika ya 43 la mkwaju wa penalti la kiungo Ismaël Seifallah Gharbi wa Braga ya Ureno anayecheza kwa mkopo FC Augsburg ya Ujerumani.
Lakini kiungo wa Azam FC, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ akaisawazishia Taifa Stars dakika ya 48 na kuivusha Tanzania Hatua ya mtoano kwa mara ya kwanza ndani ya Fainali nne, zikiwemo za 1980, 2019 na 2023.
Kwa matokeo hayo, Tunisia imemaliza nafasi ya pili na pointi zake nne, nyuma ya vinara, Nigeria wenye pointi tisa hivyo timu zimefuzu moja kwa moja na Tanzania iliyomaliza na pointi mbili inafuzu kama mmoja wa washindi wa tatu bora.
Uganda iliyoshika mkia Kundi C na pointi yake moja safari yake inaishia hapa na wanarejea Kampala kujipanga kwa majukumu mengine.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/ZeT6aw2
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang FEI TOTO AIPELEKA TAIFA STARS 16 BORA AFCON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/fei-toto-aipeleka-taifa-stars-16-bora.html. Terimakasih atas perhatiannya.