WENYEJI, Morocco wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Comoro katika mchezo wa Kundi A usiku wa jana Uwanja wa Prince Moulay Abdellah Jijini Rabat.
Mabao ya Simba wa Atlasi katika mchezo huo wa ufunguzi yalifungwa na winga wa Real Madrid, Brahim Abdelkader Díaz dakika ya 55 na mshambuliaji wa Olympiacos ya Ugiriki, Ayoub El Kaabi dakika ya 74.
Morocco ingeweza kuondoka na ushindi mpana zaidi kama si kipa wa Comoro, Yannick Pandor anayedakia RC Lens ya Ufaransa kuokoa penalti ya Soufiane Rahimi dakika ya 10 tu ya mchezo huo.
Sherehe za ufunguzi zilifana zikiwahusisha Rais wa FIFA, Giannis Infantino, CAF, Dk. Patrice Motsepe na Prince Moulay Abdellah wa Morocco.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/M5uqnYS
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang WENYEJI MOROCCO WAANZA VYEMA AFCON 2025. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/wenyeji-morocco-waanza-vyema-afcon-2025.html. Terimakasih atas perhatiannya.