KIPA wa Yanga SC, Djigui Diarra ameisaidia Mali kufuzu Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya sare ya bila mabao na Comoro katika mchezo wa Kundi A usiku wa jana Uwanja wa Mohammed V Jijini Casablanca nchini Morocco.
Mechi nyingine ya Kundi A jana wenyeji, Morocco walishinda 3-0 dhidi ya Zambia - mabao ya mshambuliaji wa Olympiacos ya Ugiriki, Ayoub El Kaabi mawili dakika ya tano na 50 na winga wa Real Madrid ya Hispania, Brahim Abdelkader Díaz dakika ya 27.
Kwa matokeo hayo, Mali inamaliza na pointi tatu katika nafasi ya pili nyuma ya Morocco iliyofuzu na pointi zake saba, wakati Comoro na Zambia kila moja imemaliza na pointi mbili.
Morocco na Mali zinafuzu moja kwa moja hatua ya 16 Bora, huku Comoro na Zambia zikiaga mashindano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/IFAubnh
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang DIARRA AIPELEKA MALI 16 BORA AFCON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/12/diarra-aipeleka-mali-16-bora-afcon.html. Terimakasih atas perhatiannya.