TIMU ya Azam FC imeweka hai matumaini ya kwenda Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Nairobi United ya Kenya katika mchezo wa Kundi B usiku huu Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Bao pekee la Azam FC leo limefungwa na kiungo wake nyota, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ dakika ya 12 na kwa ushindi huo, Azam FC wanafikisha pointi sita ingawa wanabaki nafasi ya tatu nyuma ya Wydad Athletics ya Morocco na AS Maniema Union ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), zenye pointi tisa kila moja, wakati Nairobi United inaendelea kushika mkia kufuatia kufungwa mechi zake zote nne.
Mechi zijazo Azam FC watawakaribisha AS Maniema Union hapo hapo Zanzibar na Nairobi United watakuwa wenyeji wa Wydad AC Uwanja wa Taifa wa Nyayo, Nairobi mechi zote zikichezwa Februari 8, mwaka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/gGSZYv7
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAICHAPA TENA NAIROBI UNITED KOMBE LA CAF. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/azam-fc-yaichapa-tena-nairobi-united.html. Terimakasih atas perhatiannya.