TIMU ya Azam FC imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Wydad AC katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Shirikisho Afrika jioni ya leo Uwanja wa Mohammed V Jijini Casablanca nchini Morocco.
Mabao ya Wydad Athletics Club yamefungwa na beki Paschal Gaudence Msindo aliyejifunga dakika ya 64 na mshambuliaji Mfaransa, Nassi Ouled Bentle dakika ya 90’+4'.
Mechi nyingine ya mwisho ya Kundi B Kombe la Shirikisho, AS Maniema Union imeichapa Nairobi United FC mabao 3-0 Uwanjawa TP Mazembe Jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Kwa matokeo hayo Wydad inamaliza kileleni na pointi zake 15, ikifuatiwa na AS Maniema Union yenye pointi 12 na zote zinakwenda Robo Fainali, wakati Azam FC inamaliza na pointi tisa mbele ya Nairobi United ambayo imefungwa mechi zote na zote safari yao inaishia hapa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/Ts2RW67
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang
. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/timu-ya-azam-fc-imechapwa-mabao-2-0-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.