TIMU ya JKT Tanzania imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Meja Jenerali Charles Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam.
Mshambuliaji Valentino Mashaka Kusengama alianza kuifungia JKT Tanzania kwa penalti dakika ya tatu, kabla ya winga mkongwe Shiza Ramadhani Kichuya kuisawazishia Coastal Union dakika ya 13.
Kwa matokeo hayo, JKT Tanzania inafikisha pointi 28 katika mchezo wa 16 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu, wakati Coastal Union imefikisha pointi 15 katika mchezo wa 15 ingawa inabaki nafasi ya tisa kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/RWBN5Fa
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang
. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/timu-ya-jkt-tanzania-imelazimishwa-sare.html. Terimakasih atas perhatiannya.