WENYEJI, Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mabao ya Tanzania Prisons yamefungwa na Lambert Sabiyanka dakika ya 49, George Mpole kwa penalti dakika ya 71 na Oscar Mwajanga dakika ya 78, wakati ya Namungo FC yamefungwa na Cyprian Kipenye kwa penalti dakika ya 39 na Mkongo Fabrice Ngoy dakika ya 42.
Kwa ushindi huo, Tanzania Prisons inafikisha pointi 12 katika mchezo wa 13 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 14 kwenye ligi ya timu 16, wakati Namungo FC inabaki na pointi zake 20 za mechi 14 sasa nafasi ya tano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/mi17VFr
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang
. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/wenyeji-tanzania-prisons-wameibuka-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.