MWANARIADHA nyota wa Tanzania, Gabriel Geay ameendelea kupeperusha vyema bendera ya taifa baada ya kushika nafasi ya kwanza katika mbio za Daegu Marathon zilizofanyika nchini Korea Kusini.
Geay aliibuka mshindi kwa kutumia muda wa saa 2:08:05, akionesha kiwango cha juu cha ushindani, uthabiti na uzoefu mkubwa katika mbio za kimataifa.
Ushindi huo unamfanya kutetea ubingwa wake kwa mara ya pili mfululizo mafanikio yanayoendelea kumuweka katika ramani ya wanariadha bora duniani katika mbio za masafa marefu.
Geay pia anashikilia rekodi ya Taifa ya marathon (2:03:00) aliyoiweka mwaka 2023 katika mbio za Valencia Marathon, mafanikio yaliyoimarisha hadhi yake katika riadha ya kimataifa.
Hongera Gabriel Geay kwa ushindi huu mkubwa na kwa kuendelea kuiwakilisha Tanzania kwa mafanikio makubwa duniani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/IHWCBpi
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang GABRIEL GEAY ATETEA UBINGWA WA DAEGU MARATHON 2026. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/gabriel-geay-atetea-ubingwa-wa-daegu.html. Terimakasih atas perhatiannya.