TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao ya Singida Black Stars yamefungwa na winga Mrundi, Ndumumwe Mossi dakika ya sita, mshambuliaji Mkongo, Malanga Horso Mwaku dakika ya 17 na beki Kennedy Wilson Juma dakika ya 59, wakati bao pekee la Mtibwa Sugar limefungwa na kiungo Raizin Hafidh dakika ya 88.
Kwa ushindi huo, Singida Black Stars inafikisha pointi 15 katika mchezo wa tisa na kusogea nafasi ya 10 kutoka ya 13, wakati Mtibwa Sugar inabaki na pointi zake 21 za mechi 15 sasa nafasi ya nne.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/gBWYluR
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MTIBWA SUGAR 3-1 DODOMA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/singida-black-stars-yaichapa-mtibwa.html. Terimakasih atas perhatiannya.