TIMU ya Mtibwa Sugar imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Fredrick Magata dakika ya 38 kwa penalti na Ismail Mhesa dakika ya 87, wakati la Tanzania Prisons limefungwa na George Mpole kwa penalti pia dakika ya nane.
Kwa ushindi huo, Mtibwa Sugar wanafikisha pointi 20 katika mchezo wa 12 na kusogea nafasi ya tatu kutoka ya tano, wakati Tanzania Prisons inabaki na pointi zake nane za mechi 10 sasa nafasi ya 15 kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/itvLGCb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MTIBWA SUGAR YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1 DODOMA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/mtibwa-sugar-yaichapa-tanzania-prisons.html. Terimakasih atas perhatiannya.