 |
| Mshambuliaji Mkenya, Elvis Baranga Rupia akishangilia baada ya kuifungia Singida Black Stars bao la kuongoza |
TIMU ya Namungo FC imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
Mkenya, Elvis Baranga Rupia alianza kuifungia Singida Black Stars dakika ya 58 kwa penalti, kabla ya mshambuliaji mwenzake, Mkongo - Fabrice Ngoy wa Ngoy kuisawazishia Namungo FC dakika ya 90’+1.
Kwa matokeo hayo, Namungo FC inafikisha pointi 21 katika mchezo wa 16 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya sita, wakati Singida Black Stars inafikisha pointi 16 katika mchezo wa 10 na kupanda kwa nafasi mbili pia hadi ya 10.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/TXEYeVq
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NAMUNGO YATOA SARE 1-1 NA SINGIDA BLACK STARS RUANGWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/namungo-yatoa-sare-1-1-na-singida-black.html. Terimakasih atas perhatiannya.