KLABU ya Simba imemtakia kila la heri mshambuliaji wake, Kibu Denis Prosper ambaye anahamia Al Nasr SC ya Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu kwa ada ya uhamisho ya Dola za kimarekani 250,000.
“Baada ya kuwa sehemu ya kikosi chetu kwa misimu minne na nusu, Kibu Denis ‘Mkandaji’ ameuzwa na sasa anakwenda kuanza maisha mapya nje ya Simba SC,” imesema taarifa ya Simba usiku huu.
Naye Kibu Denis aliaga baada ya mazoezi ya jana akishukuru kwa muda wote alioitumikia Simba SC na kuitakia kila la heri katika ushiriki wake wa mashindano mbalimbali ishinde mataji na kuwafurahisha mashabiki wake.
Kibu aliyejiunga na Simba mwaka 2021 akitokea Geita Gold – anakwenda kuungana tena na mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda, Steven Dese Mukwala ambaye alitangulia kusajiliwa Al Nasr.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/tik2AqU
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KIBU DENIS KWAHERI SIMBA SC , AJIUNGA A AL NASR YA LIBYA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/kibu-denis-kwaheri-simba-sc-ajiunga-al.html. Terimakasih atas perhatiannya.