TIMU ya Dodoma Jiji FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao ya Dodoma Jiji yamefungwa na mshambuliaji Faraji Kayanda dakika ya 15, beki Gardiel Michael dakika ya 40 na mshambuliaji, William Edgar dakika ya 55.
Kwa ushindi huo, Dodoma Jiji FC inafikisha pointi 20 katika mchezo wa 15 na kusogea nafasi ya sita, wakati TRA United inabaki na pointi zake 13 za mechi 12 nafasi ya 11 kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/BoVz5vw
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang
. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/timu-ya-dodoma-jiji-fc-imeibuka-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.