TIMU ya Dodoma Jiji imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC FC katika mchezo Wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao ya Dodoma Jiji yamefungwa na mshambuliaji Faraj Kayanda dakika ya 43 na winga Iddi Bahati Kipagwile dakika ya 77, wakati la KMC limefungwa na mshambuliaji Rashid Mohamed Chambo dakika ya 76.
Kwa ushindi huo, Dodoma Jiji FC inatimiza pointi 17 katika mchezo Wa 14 na kuruka kutoka nafasi ya nane hadi ya sita, wakati KMC inaendelea kushika mkia kwenye ligi ya timu 16 ikibaki na pointi nane za mechi 14 sasa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/xtkXruE
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang
. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/timu-ya-dodoma-jiji-imeibuka-na-ushindi.html. Terimakasih atas perhatiannya.