TIMU ya Pamba Jiji FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Mabao ya Pamba Jiji FC yamefungwa na kiungo Mrundi, Shassiri Nahimana mawili, dakika ya 71 na 76 na mshambuliaji Mkenya, Mathew Tegisi dakika ya 90.
Kwa ushindi huo, Pamba Jiji inafikisha pointi 20 katika mchezo Wa 13 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya tatu, wakati Coastal Union inabaki na pointi zake 11 za mechi 13 sasa nafasi ya 12 kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/9uQbrIx
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang PAMBA YAITANDIKA COASTAL UNION 3-0 CCM KIRUMBA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/pamba-yaitandika-coastal-union-3-0-ccm.html. Terimakasih atas perhatiannya.