TIMU ya Mbeya City imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, TRA United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Adili Willy Buha kwa penalti dakika ya 36 na Said Naushad Said dakika ya 74 katika mchezo ambao TRA United ilipata pigo la mapema kufuatia beki wake, Omary Yussuf Seif kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 19.
Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 13 katika mchezo wa 14 na kusogea nafasi ya 10 ikizidiwa tu wastani wa mabao na TRA United ambayo hata hivyo imecheza mechi 11 hadi sasa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/TtsPEih
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBEYA CITY YAICHAPA TRA UNITED 2-0 PALE PALE TABORA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/02/mbeya-city-yaichapa-tra-united-2-0-pale.html. Terimakasih atas perhatiannya.