TIMU ya Senegal ‘Simba wa Teranga’ imefanikiwa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Morocco usiku huu Uwanja wa Prince Moulay Abdellah Jijini Rabat.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo wa ulinzi wa Villarreal ya Hispania, Pape Alassane Gueye dakika ya 94 katika mchezo uliodumu kwa dakika 120.
Hilo linakuwa taji la pili la AFCON kwa Senegal baada ya awali kulibeba mwaka 2021 nchini Cameroon Waliofunga Misri kwa penalti 4-2 baada ya sare ya 0-0 Uwanja wa Olembe Yaoundé.
Nyota wa Senegal, Sadio Mane wa Senegal amechaguliwa Mchezaji Bora wa michuano hiyo (MVP), Mfungaji Bora Brahim Diaz wa Morocco mabao matano, Kipa Bora Yassine Bounou wa Morocco na Timu iliyoonyesha Mchezo wa Kiungwana, Morocco.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/geK4Nb6
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NI MOROCCO BINGWA AFCON, MOROCCO YALALA NYUMBANI 1-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/ni-morocco-bingwa-afcon-morocco-yalala.html. Terimakasih atas perhatiannya.