MSHAMBULIAJI Clement Francis Mzize ameanza mazoezi leo visiwani Zanzibar baada ya kuwa nje tangu Septemba mwaka jana kufuatia kuumia goti.
Yanga ipo visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi na kesho watacheza mechi yao ya mwisho ya Kundi C kwa kumenyana na TRA United ya Tabora.
Mzize alikuwa sehemu ya wachezaji waliofanya mazoezi na Yanga SC leo kujiandaa na mchezo wa kesho.
Mzize aliumia Septemba 19 mwaka jana katika mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Wiliete SC nchini Angola, Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0.
Baada ya vipimo na uchunguzi wa kina, Mzize alifanyiwa upasuaji Oktoba mwaka jana na kitakuwa kuwa nje kwa wiki nane hadi 10 ambazo zimekamilika na amerudi kazini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/pHGE9bB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MZIZE AANZA MAZOEZI YANGA IKIJIANDAA KUIVAA TRA KESHO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/mzize-aanza-mazoezi-yanga-ikijiandaa.html. Terimakasih atas perhatiannya.