VIGOGO, Yanga SC wameanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya KVZ katika mchezo wa Kundi C jioni ya leo Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Mabao ya Yanga SC yamefungwa na viungo, Muivory Coast, Peodoh Pacome Zouzoua dakika ya 31, Celestin Ecua mzaliwa wa Ivory Coast pia anayechezea timu ya taifa ya Chad dakika ya 54 na mshambuliaji mpya, Emmanuel Mwanengo aliyesajiliwa kutoka TRA United dakika ya 75.
Ecua na Mwanengo wote walifunga mipira waliyopiga ilimbabatiza beki wa KVZ, Rahim Chikuni na kubadili mwelekeo kutinga nyavuni.
Yanga sasa itahitaji ushindi katika mechi yake ya mwisho dhidi ya TRA United Jumanne ili kwenda Nusu Fainali.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/DOArVRi
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA SC YAANZA VYEMA KOMBE LA MAPINDUZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/yanga-sc-yaanza-vyema-kombe-la-mapinduzi.html. Terimakasih atas perhatiannya.