KLABU ya Al Ahly imemsimamisha winga wake hatari, Emam Ashour Metwally Abdelghany kwa wiki mbili na kumtoza Faini ya Pauni za Uingereza Milioni 1.5 kwa utovu wa nidhamu.
Ni tukio la muda mfupi kabla ya timu kuondoka Cairo mapema leo kuanza safari ya kuja Tanzania kwa ajili ya mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Yanga SC Jumamosi wiki hii Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Awali Emam Ashour alijumuishwa kwenye kikosi cha Al Ahly kinachokuja kucheza na Yanga, lakini hakuonekana Uwanja wa Ndege wakati timu inaondoka na ndipo taarifa za kusimamishwa zikafuatia.
“Emam Ashour alipigwa faini ya pauni milioni 1.5 za Misri, akasimamishwa kwa wiki mbili, na akaamriwa kufanya mazoezi peke yake,” imesema taarifa rasmi ya Al Ahly.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/ol7u2C5
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms