TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo mshambuliaji Saleh Karabaka Kikuya dakika ya 81 na kwa ushindi huo, JKT Tanzania inafikisha pointi 20 katika mchezo wa 11 na kurejea kileleni, ikiwazidi pointi moja mabingwa watetezi, Yanga ambao pia wana mechi nne mkononi.
Kwa upande wao Singida Black Stars wanabaki na pointi zao tisa za mechi saba nafasi ya 11 kwenye Ligi ya timu 16.
Baada ya mchezo huo, Singida Black Stars wanakwenda Zanzibar kuwasubiri AS Otoho ya Kongo-Brazzaville katika mchezo wa Kundi C Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa Jumapili Uwanja wa New Amaan Complex.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/M8aiNCZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang JKT TANZANIA YAICHAPA SINGIDA BLACK STARS 1-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/jkt-tanzania-yaichapa-singida-black.html. Terimakasih atas perhatiannya.