SAFARI ya Tanzania katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeishia Hatua ya 16 Bora baada ya kutolewa na wenyeji, Morocco leo.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Prince Moulay Abdellah Jijini Rabat, bao pekee la Simba wa Atlasi limefungwa na winga wa Real Madrid ya Hispania, Brahim Abdelkader Díaz dakika ya 64.
Kocha wa Tanzania, Muargentina Miguel Angel Gamondi na wachezaji wake walimlalamikia refa Boubou Traore wa Mali kuwanyima penalti kufuatia winga Iddi Suleiman ‘Nado’ kuangushwa kwenye boksi dakika ya 90 na ushei.
Morocco sasa itakutana na mshindi kati ya Afrika Kusini na Cameroon zitakazomenyana baadaye usiku huu Uwanja wa Al Medina hapo hapo Rabat.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/JFIWmVs
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms