KLABU ya Mbeya City imemtambulisha kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Burkina Faso, Yacouba Songne kuwa mchezaji wake mpya kuanzia dirisha hili dogo.
Yacouba Songné anajiunga na Mbeya City baada ya kuachana na iliyokuwa Tabora United, sasa TRA United ambayo aliichezea msimu uliopita akitokea AS Arta/Solar7 ya Djibouti.
Yacouba Songné aliwasili nchini kwa mara ya kwanza Agosti mwaka 2020 kujiunga na Yanga SC akitokea Asante Kotoko ya Ghana baada ya awali kuchezea Stade Malien ya Mali kufuatia kuchezea klabu mbili za kwao, Burkina Faso, RC Kadiogo na
EF Ouagadougou.
Baada ya kuondoka Yanga, Yacouba Songné alichezea Ihefu SC ambayo sasa inajulikana kama Singida Black Stars.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/ukTBVAr
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBEYA CITY YAMSAJILI YACOUBA SONGNE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/mbeya-city-yamsajili-yacouba-songne.html. Terimakasih atas perhatiannya.