SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeufungia Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, maarufu kama KMC Complex, uliopo Mwenge Jijini Dar es Salaam kutotumika kwa mechi za Ligi Kuu kufuatia kupoteza sifa za kikanuni.
Taarifa ya TFF iliyotolewa leo ikiwa na saini ya Meneja Habari na Mawasiliano wa shirikisho hilo, Clifford Mario Ndimbo imezielekeza klabu zinazotumia Uwanja huo mwingine hadi hapo KMC Complex itakapofunguliwa tena baada ya mapungufu yaliyoibainika kufanyiwa marekebisho.
Mbali na wenye mali yao, KMC FC timu nyingine ambayo inatumia Uwanja huo rasmi kama wa nyumbani ni mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa miaka minne mfululizo, Yanga SC walioanza kuutumia msimu uliopita.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/X3FaICv
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TFF YAUFUNGIA UWANJA WA KMC USITUMIKE KWA MECHI ZA LIGI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/tff-yaufungia-uwanja-wa-kmc-usitumike.html. Terimakasih atas perhatiannya.