TIMU ya Senegal imefanikiwa kwenda Nusu Fainali Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Mali usiku huu Uwanja wa Tangier Grand Jijini Tangier nchini Morocco.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo mshambuliaji wa Everton ya England, Iliman Cheikh Baroy Ndiaye mzaliwa wa Rouen, Ufaransa dakika ya 27.
Mali ilicheza pungufu kipindi chote cha pili baada ya kiungo wake, Yves Bissouma anayecheza Tottenham Hotspur ya England pia kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 45’+3.
Sifa kwa kipa wa Yanga SC, Djigui Diarra aliyeinusuru Mali kufungwa mabao zaidi kwa kuokoa michomo mingi ya hatari.
Kwa matokeo hayo, Senegal imetanua rekodi yake ya wimbi la ushindi kwenye AFCON hadi mechi 16 bila kupoteza, ikishinda 11 na sare tano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/mch03yD
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SENEGAL YAICHAPA 1-0 MALI PUNGUFU NA KUITOA AFON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/senegal-yaichapa-1-0-mali-pungufu-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.