MABINGWA watetezi, Ivory Coast wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Burkina Faso usiku huu Uwanja wa Marrakech Jijini Marrakech nchini Morocco.
Mabao ya Tembo yamefungwa na mawinga, Amad Diallo wa Manchester United ya England dakika ya 20, Yan Diomande wa RB Leipzig ya Ujerumani dakika ya 32 na Bazoumana Touré wa TSG Hoffenheim ya Ujerumani pia dakika ya 87.
Ivory Coast sasa itakutana na Misri katika Robo Fainali Januari 10 Uwanja wa Adrar Jijini Agadir, siku ambayo pia Algeria itamenyana na Nigeria katika Robo nyingine Uwanja wa Marrakech.
Robo nyingine zitatangulia Januari 9 kati ya Mali na Senegal Uwanja wa Tangier Grand mjini Tangier na Cameroon dhidi ya wenyeji, Morocco Uwanja wa Prince Moulay Abdellah Jijini Rabat.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/0iepayS
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms