TIMU ya Azam FC imelazimishwa sare ya bila mabao na Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yanaifanya Azam FC ifikishe pointi 13 katika mchezo wa saba na kusogea nafasi ya tano kutoka ya sita, wakati Fountain Gate inatimiza pointi 11 katika mchezo wa 11, ingawa inabaki nafasi ya tisa kwenye Ligi ya timu 16.
Baada ya mechi hiyo, Azam FC inatarajiwa kusafiri kwenda Kenya kwa ajili ya mchezo wa Kundi B Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Nairobi United Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Taifa wa Nyayo Jijini Nairobi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/I7vMQFo
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAAMBULIA SULUHU KWA FOUNTAIN GATE CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/azam-fc-yaambulia-suluhu-kwa-fountain.html. Terimakasih atas perhatiannya.