WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na viungo, Yahya Zayd Omary dakika ya 24 kwa penalti, Feisal Salum Abdallah dakika ya 35 na mshambuliaji Mkongo, Jephte Kitambala Bola dakika ya 45’+2.
Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 12 katika mchezo wa sita na kusogea nafasi ya sita, wakati Coastal Union inabaki na pointi zake tisa za mechi tisa sasa nafasi ya 12 kwenye Ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/c9O8fBF
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAITANDIKA COASTAL UNION 3-0 CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/azam-fc-yaitandika-coastal-union-3-0.html. Terimakasih atas perhatiannya.