WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na KMC FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
KMC walianza vizuri mchezo huo na kutangulia kupata bao kupitia kwa Jammy Suleiman dakika ya 45’+2, kabla ya Gradi Kiala kuisawazishia Coastal Union dakika ya 47.
Kwa matokeo hayo, Coastal Union wanafikisha pointi 10 baada ya kucheza mechi 11 sasa, ingawa wanabaki nafasi ya 13 wakati KMC inafishika pointi tano katika mchezo wa 11 sasa na kuendelea kushika mkia kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/BLOaJr1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang COASTAL UNION YABANWA MBAVU NA KMC MKWAKWANI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/coastal-union-yabanwa-mbavu-na-kmc.html. Terimakasih atas perhatiannya.