TIMU ya Yanga SC imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida Black Stars usiku huu Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo mshambuliaji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Maxi Mpia Nzengeli dakika ya 53 akimalizia pasi maridhawa ya kiungo Muivory Coast, Peodoh Pacome Zouzoua.
Yanga SC sasa itakutana na Azam FC katika Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 Jumanne ya Januari 13 Uwanja wa Gombani, Pemba.
Ikumbukwe Azam FC ilitangulia Fainali jana kwa ushindi wa 1-0 dhid ya Simba SC, bao pekee la beki Lameck Elias Lawi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/MdmlqJa
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAXI AIPELEKA YANGA SC FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/maxi-aipeleka-yanga-sc-fainali-kombe-la.html. Terimakasih atas perhatiannya.